У нас вы можете посмотреть бесплатно ALIYEFARIKI NA KUZIKWA MIAKA 13 ILIYOPITA APATIKANA AKIWA HAI, ALEZA MAGUMU ALIYOPITIA. или скачать в максимальном доступном качестве, видео которое было загружено на ютуб. Для загрузки выберите вариант из формы ниже:
Если кнопки скачивания не
загрузились
НАЖМИТЕ ЗДЕСЬ или обновите страницу
Если возникают проблемы со скачиванием видео, пожалуйста напишите в поддержку по адресу внизу
страницы.
Спасибо за использование сервиса ClipSaver.ru
Katika hali isiyo ya Kawaida, Mama aitwaye ELIZABETH KALAMU SEGENYENGE alifariki 29.08.2008 na kuzikwa 30.08/2008 Katika Kijiji cha Ng'haya Wilayani Magu. Cha ajabu mama huyu ameonekana akiwa hai katika Kijiji cha Igunya Kata ya Jija Wilaya ya Maswa mkoani Simiyu. Ndugu wa Elizabeth wamemtambua na kuthibitisha ni yeye, Watoto wa Elizabeth wamesimulia namna Mama alivyougua hadi kufariki mwaka 2008. Jeshi la Polisi limefanikiwa kufukua Kaburi alimokuwa amezikwa Elizabeth, Cha kushangaza wamekuta nguo aliyozikiwa ikiwa mpya kabisa na ndani yake kuna mifupa ya aina mbalimbali. Tunakuhabarisha. +255 716 094 601. [email protected]