У нас вы можете посмотреть бесплатно MZUMBE KUJENGA CHUO WILAYANI MKINGA - TANGA или скачать в максимальном доступном качестве, видео которое было загружено на ютуб. Для загрузки выберите вариант из формы ниже:
Если кнопки скачивания не
загрузились
НАЖМИТЕ ЗДЕСЬ или обновите страницу
Если возникают проблемы со скачиванием видео, пожалуйста напишите в поддержку по адресу внизу
страницы.
Спасибо за использование сервиса ClipSaver.ru
Uongozi wa chuo kikuu cha mzumbe wamekadhiwa eneo la Mradi wa ujenzi wa chuo hicho hekari 300 bule zilizotolwewa na wananchi katika kata ya kigombe kitongoji cha pangalawe wilaya mkinga mkoani Tanga ambapo ujenzi huo utaghalimu kiasi cha shilling billion 16 ambao utatekelezwa kwa miaka mitano. Akizungumza wakati wa hafla hiyo mwakilishi wa mkuu wa mkoa wa Tanga ambaye pia ni mkuu wa Wilaya ya Mkinga Kanal Maulidi Sulumbu amewataka wananchi kuchangamkia fursa zinazo tokana na mradi huku akitoa rai kwa wana Tanga wote kuwa walinzi wa vifaa vya mradi huo ukiwa na lengo la kuongeza ubora na umuhimu wa soko la ajira nchini.