У нас вы можете посмотреть бесплатно PART 1 "Nilifukuzwa darasani kwa kukosa elfu 2" Prof Kitila Mkumbo или скачать в максимальном доступном качестве, видео которое было загружено на ютуб. Для загрузки выберите вариант из формы ниже:
Если кнопки скачивания не
загрузились
НАЖМИТЕ ЗДЕСЬ или обновите страницу
Если возникают проблемы со скачиванием видео, пожалуйста напишите в поддержку по адресу внизу
страницы.
Спасибо за использование сервиса ClipSaver.ru
Ama kweli maisha ni safari ndefu ndivyo unavyoweza kusema unaposikia Mbunge wa Ubungo (CCM) Profesa Kitila Mkumbo akielezea jinsi alivyofukuzwa shule mwaka 1989 akiwa kidato cha pili katika Shule ya Sekondari ya Mwenge baada ya kukosa ada ya Sh2,000. Akizungumza katika mahojiano maalum yaliyofanyika kwenye ofisi za gazeti hili, Profesa Mkumbo alisema anaguswa na elimu kwasababu moja kubwa ambayo ni kufukuzwa shule baada ya kukosa ada.