У нас вы можете посмотреть бесплатно DW Kiswahili Habari za Ulimwengu | 31.01.2026 | Mchana | Swahili Habari leo | Podcast или скачать в максимальном доступном качестве, видео которое было загружено на ютуб. Для загрузки выберите вариант из формы ниже:
Если кнопки скачивания не
загрузились
НАЖМИТЕ ЗДЕСЬ или обновите страницу
Если возникают проблемы со скачиванием видео, пожалуйста напишите в поддержку по адресу внизу
страницы.
Спасибо за использование сервиса ClipSaver.ru
Miongoni mwa tuliyokuandalia mchana wa leo: ++Marekani yasema “haitovumilia” vitendo visivyo salama vinavyofanywa na Iran katika eneo la Hormuz. ++Maelfu ya watu wameandamana Minneapolis na maeneo mengine Marekani kupinga hatua kali zinazochukuliwa dhidi ya wahamiaji. ++Watu wasiopungua 200 wamekufa baada ya mgodi wa coltan kuporomoka mashariki mwa Congo. #dwkiswahili #DWSwahili #HabariLeo #RipotiNaUchambuzi #TaarifaYaHabari #DWKiswahiliPodcast /Ukitaka kupata habari zetu kila siku, bonyeza 'subscribe' kwenye chaneli yetu ya DW Kiswahili.