У нас вы можете посмотреть бесплатно Mikakati ya UDA 2027 или скачать в максимальном доступном качестве, видео которое было загружено на ютуб. Для загрузки выберите вариант из формы ниже:
Если кнопки скачивания не
загрузились
НАЖМИТЕ ЗДЕСЬ или обновите страницу
Если возникают проблемы со скачиванием видео, пожалуйста напишите в поддержку по адресу внизу
страницы.
Спасибо за использование сервиса ClipSaver.ru
Rais William Ruto na naibu rais Kithure Kindiki wameendeleza mashambulizi dhidi ya Umoja wa Upinzani, huku wakilaumu viongozi hao kwa kusambaratisha utendakazi wa sekta muhimu kama vile elimu. Wakihudhuria mkutano maalum wa wawaniaji wa chama cha UDA 12,353, wa nyadhifa za Gavana, Seneta, Bunge na Wadi katika ikulu ya Nairobi, viongozi hao walisuta mrengo wa upinzani kwa kukosa suluhisho wa maswala muhimu ya kitaifa yakiwemo gharama ya maisha. Aidha, rais amefahamisha kuwa jumla ya waajiriwa milioni moja na nusu milioni watapata afueni ya kutolipa ushuru kama ilivyopendekezwa na wizara ya fedha.