У нас вы можете посмотреть бесплатно KIINUA MGONGO KITAKUMALIZA! 😱 Huu ndio MFUMO wa vyanzo 5 vya kipato kila mwezi - CPA Urassa или скачать в максимальном доступном качестве, видео которое было загружено на ютуб. Для загрузки выберите вариант из формы ниже:
Если кнопки скачивания не
загрузились
НАЖМИТЕ ЗДЕСЬ или обновите страницу
Если возникают проблемы со скачиванием видео, пожалуйста напишите в поддержку по адресу внизу
страницы.
Спасибо за использование сервиса ClipSaver.ru
Wafanyakazi wengi hufilisika ndani ya miaka 3 baada ya kustaafu. Je, unajua kwanini? 😳 Katika sehemu hii ya pili ya mahojiano yetu na mtaalamu wa fedha, CPA Oswald M. Urassa, tunazama ndani zaidi kwenye mkakati wa vitendo wa jinsi ya kugeuza mafao yako (Lump Sum) kuwa "Mshahara wa kudumu" maisha yako yote. CPA Urassa anatoa onyo kali: Usitumie kiinua mgongo chako kujenga nyumba au kulipa madeni! Kwenye Episode hii utajifunza: ✅ Mkakati wa Magawio 12: Jinsi ya kupanga uwekezaji wako upokee faida kila mwezi (Januari hadi Desemba). ✅ Mtego wa Nyumba & Biashara: Kwanini wastaafu wengi hupoteza fedha zote kwenye ujenzi na biashara ngeni, na jinsi ya kuepuka kosa hilo. ✅ Formula ya Umri: Uwiano sahihi wa kuwekeza kwenye Hisa, Bonds (Hati Fungani), na UTT AMIS kulingana na umri wako. ✅ Mambo 4 ya Kustaafu: Mbali na fedha, unajipangaje na Muda, Afya, na Lifestyle yako mpya? ✅ Mbegu vs Chakula: Jinsi ya kutumia mafao kama "Mbegu" ili yakupe kipato kikubwa kuliko hata mshahara uliokuwa unapata kazini. CPA Urassa ni mmoja wa waanzilishi wa Soko la Hisa la Dar es Salaam (DSE) na aliyewahi kuwa Treasurer wa NMB Bank. Maarifa haya ni lazima kwa kila mwajiriwa, mfanyabiashara, na kijana anayetafuta Uhuru wa Kifedha (Financial Freedom). "Kustaafu siyo mwisho wa maisha, ni kubadilisha ofisi tu." 🔗 Ungana nasi kwa video zaidi: Subscribe: SCCULT Online TV Instagram: @PawaPod TikTok: @PawaPod #ElimuYaFedha #CPAUrassa #PawaPod #Kustaafu #KiinuaMgongo #NSSF #PSSSF #Uwekezaji #Tanzania #HatiFungani #UTTAMIS #FinancialFreedom #InvestmentTips.