У нас вы можете посмотреть бесплатно Serikali kuzindua vyuo vya mafunzo ya KDF na polisi eneo la North Rift или скачать в максимальном доступном качестве, видео которое было загружено на ютуб. Для загрузки выберите вариант из формы ниже:
Если кнопки скачивания не
загрузились
НАЖМИТЕ ЗДЕСЬ или обновите страницу
Если возникают проблемы со скачиванием видео, пожалуйста напишите в поддержку по адресу внизу
страницы.
Спасибо за использование сервиса ClipSaver.ru
Serikali imekariri azma yake ya kuhakikisha amani ya kudumu katika eneo la North Rift. Waziri wa usalama wa taifa Kipchumba Murkomen, akisema kuwa amani inayoshuhudiwa katika eneo hilo inatokana na ushirikiano baina ya jamii na mashirika ya kiusalama, alikariri kwamba vyuo vya mafunzo kwa huduma ya taifa ya polisi na vikosi vya ulinzi nchini vitaanzishwa katika eneo hilo. Connect with KBC Online; Subscribe to our channel: https://t.ly/86BKNc Follow us on Twitter: https://twitter.om/KBCChannel1 Find us on Facebook: / kbcchannel1tv Check our website: https://www.kbc.co.ke/ #kbcchannel1 #news #kbclive