У нас вы можете посмотреть бесплатно Rais Museveni achukua hatua baada ya ajali kuua watu 46. Katika Dira ya Dunia TV или скачать в максимальном доступном качестве, видео которое было загружено на ютуб. Для загрузки выберите вариант из формы ниже:
Если кнопки скачивания не
загрузились
НАЖМИТЕ ЗДЕСЬ или обновите страницу
Если возникают проблемы со скачиванием видео, пожалуйста напишите в поддержку по адресу внизу
страницы.
Спасибо за использование сервиса ClipSaver.ru
Polisi nchini Uganda wamethibitisha vifo vya watu 46 huku wengine wengi wakipokea matibabu kufuatia ajali ya barabarani usiku wa kuamkia leo. Taarifa za awali zilisema idadi hiyo huenda ikaongezeka. Rais Yoweri Museveni amewaomba wanaotumia barabara hasa madereva wa magari kuwa waangalifu ili kuzuia majanga kutokea. Leila Mohammed ana taarifa zaidi. #Museveni #Uganda #bbcswahili #bbcswahilileo Subscribe kupata video motomoto kila siku kutoka BBC Idhaa ya Kiswahili / @bbcnewsswahili