У нас вы можете посмотреть бесплатно TAG PENUEL: IBADA YA SHUKRANI MWAKA MPYA 2026 REV ANNAEL G. PALLANGYO или скачать в максимальном доступном качестве, видео которое было загружено на ютуб. Для загрузки выберите вариант из формы ниже:
Если кнопки скачивания не
загрузились
НАЖМИТЕ ЗДЕСЬ или обновите страницу
Если возникают проблемы со скачиванием видео, пожалуйста напишите в поддержку по адресу внизу
страницы.
Спасибо за использование сервиса ClipSaver.ru
TAG PENUEL: IBADA YA SHUKRANI MWAKA MPYA 2026 REV ANNAEL G. PALLANGYO SOMO:NENO KATIKA UTENDAJI YER 23:29, YER 1:12, YOHN 1:1-14 • Kila mara neno linapoachiliwa, lazima matokeo ya utukufu yathibitike. Yoh.1:14 TANGULIZI. Kanisa la leo halijakosa Neno, lakini dunia inakosa ushahidi wa Neno lililo katika matendo. • Tatizo si Biblia mikononi mwa watu, tatizo ni Biblia isiyo hai katika maisha yao. "Ukristo wa kweli hauonekani kwa kile tunachojua, bali kwa kile Somo hili kimeandaliwa kukuvusha: Kutoka kusikia + kutenda Kutoka imani ya maneno → imani ya matokeo (matendo). Kutoka maarifa → ushuhuda ulio Kutoka kusikia → kutenda • Kutoka imani ya maneno → imani ya matokeo (matendo)- Kutoka maarifa → ushuhuda ulio hao Sehemu ya Kwanza Maandiko ya Msingi Yeremia 23:29; Yohana.1-T-4; Waebrania 4:12 Neno la Mungu: • Halikuanza kuandikwa, lilikuwapo kabla ya uandishi Neno la Mungu: • Halikuanza kuandikwa, Lilikuwapo kabla ya uandishi Halikutolewa kwa ajili ya mjadala, bali kwa utiifu Halibebi maoni ya Mungu, Linambeba Mungu Mwenyewe. A.W. Tozer: "Hatari kubwa ya kizazi chetu si Ikukosa Neno, bali kulizoea bila kulitii." Neno si taarifa, ni nguvu hai inayobadilisha mazingira, tabia,majira na hatima Maandiko ya Msingi: Yeremia 23:29; Yohana 1:1-4; Waebrania 4:12; Zaburi 138:2; Isaya 55:10-11 1. ASİLI YA NENO LA MUNGU: NENO HALIKUANZA KUANDIKWA, LILIKUWEPO. kitheolojia: • Neno ni la milele • Neno si wazo, ni Utu (Person) Neno halibebi ujumbe wa Mungu, Neno ni Mungu Mwenyewe katika usemi. Kabla Mungu hajafanya chochote: