У нас вы можете посмотреть бесплатно Kumbukumbu ya Maalim Seif, Je, Zanzibar ina hali gani kisiasa miaka 5 baada ya kifo chake? или скачать в максимальном доступном качестве, видео которое было загружено на ютуб. Для загрузки выберите вариант из формы ниже:
Если кнопки скачивания не
загрузились
НАЖМИТЕ ЗДЕСЬ или обновите страницу
Если возникают проблемы со скачиванием видео, пожалуйста напишите в поддержку по адресу внизу
страницы.
Спасибо за использование сервиса ClipSaver.ru
Tarehe 17 February miaka mitano iliyopita, kiongozi maarufu na mwanasiasa mkongwe visiwani Zanzibar Maalim Seif Sharif Hamad alifariki dunia. Katika video hii, mrithi wake kwenye nafasi ya Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar na baada ya Uenyekiti wa chama chake cha ACT Wazalendo anaeleza waliyoyapitia ndani ya kipindi hicho. Mahojiano haya yamefanywa na Idhaa ya Kiswahili ya DW