У нас вы можете посмотреть бесплатно WATU 10 WASHIKILIWA KWA TUHUMA ZA UTAPELI WA WIZI MTANDAONI или скачать в максимальном доступном качестве, видео которое было загружено на ютуб. Для загрузки выберите вариант из формы ниже:
Если кнопки скачивания не
загрузились
НАЖМИТЕ ЗДЕСЬ или обновите страницу
Если возникают проблемы со скачиванием видео, пожалуйста напишите в поддержку по адресу внизу
страницы.
Спасибо за использование сервиса ClipSaver.ru
Jeshi la polisi Mkoa wa kipolisi Ilala linawashikilia watu kumi kwa tuhuma za utapeli wa wizi wa mtandao. Watuhumiwa hao walikamatwa baada ya jeshi hilo kupokea taarifa kutoka kwa Kidawa Membe Mkazi wa buza baada ya kuibiwa fedha kiasi cha shilingi 6 millioni kwa njia ya mtandao na mtu mwenye namba ya simu 0676982670 baada ya kujitambulisha kuwa ni wakala Mkuu kutoka kampuni ya Tigo.