У нас вы можете посмотреть бесплатно Jinsi ya kutambua magojwa ya kuku kupitia kinyesi Chao | ufugaji wa kuku или скачать в максимальном доступном качестве, видео которое было загружено на ютуб. Для загрузки выберите вариант из формы ниже:
Если кнопки скачивания не
загрузились
НАЖМИТЕ ЗДЕСЬ или обновите страницу
Если возникают проблемы со скачиванием видео, пожалуйста напишите в поддержку по адресу внизу
страницы.
Спасибо за использование сервиса ClipSaver.ru
kama umekwisaha TAZAMA hii video na unataka kuwatibu kuku wako kupitia utambuzi huo hapa nimekuwekea link za Tiba Kwa hayo magonjwa kwa njia ya asili 👉 kutibu mafua pamoja na miharo mweupe, yawezekana ikawa ni Gumbolo au typhoid • Tiba ya asili ya mafua, chafya, kikohozi n... 👉 Tiba ya kideri, hapa nimekuwekea link mbili, hizi ni namna tofauti tofauti za kuwatibia kideri 1. • Kuna kideri, watibie kuku wako kwa kutumia... 2. • TUMIA majivu, pilipili na Aloe Vera , KUTI... 👉Kuna hii link ya kutibia Cholerae/ kipindupindu • TIBA YA ASILI NA YA DUKANI YA KIPINDUPINDU... ukiitazama vizuri hii video, ufugaji wa kuku KWAKO itakuwa ni Rahisi sana, hakuna kitu kinaumiza kichwa kama magojwa kwenye ufugaji wa kuku, itazame mpaka mwisho kama huja subscribe fanya hivyo pia kingofarm tuna makundi ya ufugaji ambapo utajifunza zaidi kuhusiana na ufugaji, Ada ni Tsh 8,000/= Kwa muda wa Miezi miwili, pia tunavyo Vitabu vinavyoelezea zaidi kuhusiana na masuala yote ya ufuji ikiwemo Chakula Bora, Tiba za asili, 1. safari ya ufugaji 2. ufugaji wa Broila 3. ufugaji Bora Wa kuku Wa Kienyeji 4. Tiba za asili Vitabu vyote vipo katika mfumo wa pdf, Kila kitabu ni Tsh 10,000/=.