У нас вы можете посмотреть бесплатно MAKAMU WA RAIS, WAZIRI MKUU NA SPIKA WA BUNGE KUSHIRIKI MAZIKO YA JENISTA MHAGAMA или скачать в максимальном доступном качестве, видео которое было загружено на ютуб. Для загрузки выберите вариант из формы ниже:
Если кнопки скачивания не
загрузились
НАЖМИТЕ ЗДЕСЬ или обновите страницу
Если возникают проблемы со скачиванием видео, пожалуйста напишите в поддержку по адресу внизу
страницы.
Спасибо за использование сервиса ClipSaver.ru
Mkuu wa Mkoa wa Ruvuma Brigedia Jenerali Ahmed Abbas Ahmed amesema viongozi wa kitaifa wakiwemo Makamu wa Rais,Waziri Mkuu,Spika wa Bunge na baadhi ya waheshimiwa wabunge wanatarajia kushiriki maziko ya aliyekuwa Mbunge wa Jimbo la Peramiho Jenista Mhagama ambayo yanatarajia kufanyika Desemba 16,2025 katika kijiji cha Ruanda wilayani Mbinga. RC Abbas amesema hayo ofisini kwake mjini Songea wakati anazungumza na wanahabari