У нас вы можете посмотреть бесплатно Kilio cha kukatika umeme Handeni,Tanesco watoa majibu или скачать в максимальном доступном качестве, видео которое было загружено на ютуб. Для загрузки выберите вариант из формы ниже:
Если кнопки скачивания не
загрузились
НАЖМИТЕ ЗДЕСЬ или обновите страницу
Если возникают проблемы со скачиванием видео, пожалуйста напишите в поддержку по адресу внизу
страницы.
Спасибо за использование сервиса ClipSaver.ru
Wananchi Handeni walia na tatizo la kukatika umeme mara Handeni.Wananchi wilayani Handeni mkoani Tanga wamelalamikia kukosa huduma ya umeme wa uhakika kwa kukatika mara kwa mara,huku wakiomba Shirika la Umeme Tanzania,(Tanesco) kutoa taarifa kwa uwepo wa changamoto hiyo. Wakizungumza kwenye kikao maalum kilichoitishwa na uongozi wa kata ya Chanika wilayani hapa wananchi hao wamesema kuwa imefikia hatua hata vifaa vyao vya ndani vinaungua kutokana na tatizo la kukatika umeme mara kwa mara.