У нас вы можете посмотреть бесплатно KWA MARA YA KWANZA WATANZANIA WAMEBUNI MFUMO WA KISHERIA, WAZIRI KABUDI ATOA KAULI "NIMEJIUNGA" или скачать в максимальном доступном качестве, видео которое было загружено на ютуб. Для загрузки выберите вариант из формы ниже:
Если кнопки скачивания не
загрузились
НАЖМИТЕ ЗДЕСЬ или обновите страницу
Если возникают проблемы со скачиванием видео, пожалуйста напишите в поддержку по адресу внизу
страницы.
Спасибо за использование сервиса ClipSaver.ru
Waziri wa Katiba na Sheria Profesa Palamagamba Kabudi amewataka Watanzania kutumia simu zao kujielimisha na kujiendeleza katika kujua Haki za Binadamu na Sheria ili waweze kuzitambua haki zao. Waziri Profesa Kabudi ameyasema hayo leo jijini Dar es salaam katika uzinduzi wa mfumo wa simu (Mobile App) unaoweza kumuunganisha mwananchi na msaidizi wa kisheria ambapo mfumo huo umezinduliwa na shirika linalofanya kazi ya kukuza upatikanaji wa haki nchini kupitia uwezeshaji wa kisheria-LSF.