У нас вы можете посмотреть бесплатно MADHARA YA KUTUMIA BARAFU KWA MTOTO BAADA YA CHANJO или скачать в максимальном доступном качестве, видео которое было загружено на ютуб. Для загрузки выберите вариант из формы ниже:
Если кнопки скачивания не
загрузились
НАЖМИТЕ ЗДЕСЬ или обновите страницу
Если возникают проблемы со скачиванием видео, пожалуйста напишите в поддержку по адресу внизу
страницы.
Спасибо за использование сервиса ClipSaver.ru
Imeekezwa kuwa kumkanda mtoto na barafu baada ya kupata chanjo kunaweza kupelekea chanjo kutofanya kazi sawasawa Kama ilivyo kusudiwa au kupelekea mtoto kupata uvimbe sehemu aliyochanjwa. Afisa Muuguzi msaidizi hospitali ya Manispaa ya Frelimo Iringa, Mgambi Malembela anasema baada ya mtoto kupata chanjo hupata homa ndogo na kupelekea kuliahivyo mzazi anatakiwa kufuta maelekezo anayopewa na muhudumu wa afya ikiwepo kumpa mtoto dawa ya kutuliza maumivu. Kuhusu uelewa wa elimu ya chanjo kwa jamii Malembela amesema zaidi ya wazazi 300 huudhuria katika kliniki na kupatiwa elimu sambamba na Utoaji wa elimu kupitia vyombovya habari.