У нас вы можете посмотреть бесплатно IPOA yaanzisha uchunguzi wa polisi kufuatia shambulizi kanisa Nyeri или скачать в максимальном доступном качестве, видео которое было загружено на ютуб. Для загрузки выберите вариант из формы ниже:
Если кнопки скачивания не
загрузились
НАЖМИТЕ ЗДЕСЬ или обновите страницу
Если возникают проблемы со скачиванием видео, пожалуйста напишите в поддержку по адресу внизу
страницы.
Спасибо за использование сервиса ClipSaver.ru
Mamlaka ya kuchunguza utendakazi wa maafisa wa polisi IPOA na kitengo cha kuwachunguza maafisa wa polisi vimeanzisha uchunguzi wa kubaini iwapo maafisa wa polisi walihusika kwenye shambulizi la kanisa la ACK Witima huko Nyeri. Ibada hiyo ilikuwa ikihudhuriwa na kinara wa DCP Rigathi Gachagua jumapili iliyopita. Mratibu wa eneo la kati Joshua Nkanatha, amewarai maafisa wa polisi na wale wa utawala kutojihusisha na ghasia na kuwataka kuzingatia kanuni zinazoongoza utendakazi wao, kama Kamau Mwangi anavyoarifu.