У нас вы можете посмотреть бесплатно Hiki ndicho Kinanda cha Maajabu, Inashangaza....!!!! .R.I.P Pd. LUCIUS OSB ABASIA YA PERAMIHO или скачать в максимальном доступном качестве, видео которое было загружено на ютуб. Для загрузки выберите вариант из формы ниже:
Если кнопки скачивания не
загрузились
НАЖМИТЕ ЗДЕСЬ или обновите страницу
Если возникают проблемы со скачиванием видео, пожалуйста напишите в поддержку по адресу внизу
страницы.
Спасибо за использование сервиса ClipSaver.ru
Ni miongoni mwa Mapadri wazee aliyekuwa anapatikana katika Abasia ya Peramiho Songea anaitwa Pd Canisius maarufu kama Father Babu, amefariki mwaka jana 2021. Hapo akiwa na baadhi ya wahujaji 30 walipotembelea Abasia ya Peramiho mwaka 2020 kutoka katika majimbo ya DSM,ARUSHA na ZANZIBAR na akapata fursa ya kuwashirikisha historia ya Peramiho na uwezo wake katika upigaji wa vinanda hivi vya kipekee ambavyo chimbuko lake ni nchini ujerumani vikijulikana kama Pipe Organ.