У нас вы можете посмотреть бесплатно HOJA MEZANI | Faida za kuwa na connection katika maisha na biashara или скачать в максимальном доступном качестве, видео которое было загружено на ютуб. Для загрузки выберите вариант из формы ниже:
Если кнопки скачивания не
загрузились
НАЖМИТЕ ЗДЕСЬ или обновите страницу
Если возникают проблемы со скачиванием видео, пожалуйста напишите в поддержку по адресу внизу
страницы.
Спасибо за использование сервиса ClipSaver.ru
Wajuzi wa masuala ya maendeleo binafsi wanashauri kuwa ili kufanikisha malengo yako, ni muhimu kuwa na watu watakaokusaidia kusonga mbele katika maisha. Vijana wengi wanaita hilo “connection,” yaani mtandao wa watu wenye ujuzi, nafasi au uzoefu wanaoweza kukusaidia kufanikisha ndoto zako. Mshahuri wa Maisha, Anthony Luvanda, anasema kuwa faida kubwa ya kuwa na connection ni kwamba inakuwezesha kupata ushauri sahihi, fursa za kibiashara, kazi au elimu, na pia kuondoa vikwazo vinavyoweza kuzuia mafanikio yako.