У нас вы можете посмотреть бесплатно MISA YA SHUKRANI YA UFUKWENI YA UTUME WA VIWAWA KUTOKA JIMBO KUU LA DSM NA BAGAMOYO или скачать в максимальном доступном качестве, видео которое было загружено на ютуб. Для загрузки выберите вариант из формы ниже:
Если кнопки скачивания не
загрузились
НАЖМИТЕ ЗДЕСЬ или обновите страницу
Если возникают проблемы со скачиванием видео, пожалуйста напишите в поддержку по адресу внизу
страницы.
Спасибо за использование сервиса ClipSaver.ru
ASKOFU MCHAMUNGU AWATAADHARISHA VIJANA KUHUSU ULIMWENGUNI WA KIDIGITALI. Bagamoyo, TANZANIA Askofu Msaidizi wa Jimbo Kuu la Dar es Salaam Mhashamu Hendry Mchamungu amewataadharisha vijana wa Kanisa Katoliki nchini yaani VIWAWA kuwa na taadhari na matumizi ya mitandao ya kidigitali, isije kuwapotosha wakabaki na majuto maishani. Askofu Mchamungu ameyaeleza hayo leo December 27, 2025 mjini Bagamoyo kwenye Homilia yake ya Misa ya Ufukweni iliyo andaliwa kwa pamoja VIWAWA kutoka Jimbo Kuu la Dar es Salaam na Jimbo Katoliki la Bagamoyo ambapo jumla ya VIWAWA 14,370 wamehudhuria Adhimisho hilo la Misa.