У нас вы можете посмотреть бесплатно HAYA NDIO MAAJABU YA ZIWA NYASA LINALO MILIKIWA NA NCHI TATU. или скачать в максимальном доступном качестве, видео которое было загружено на ютуб. Для загрузки выберите вариант из формы ниже:
Если кнопки скачивания не
загрузились
НАЖМИТЕ ЗДЕСЬ или обновите страницу
Если возникают проблемы со скачиванием видео, пожалуйста напишите в поддержку по адресу внизу
страницы.
Спасибо за использование сервиса ClipSaver.ru
Bi Ostina Nombo ambae ni Afisa wa uvuvi wilaya ya Nyasa akizungumza na VOT MEDIA katika maonesho ya nane nane yaliyofanyika kitaifa jijini Mbeya katika viwanja vya John Mwakangale, Bi Nombo amezungumzia kuhusu uwepo wa Ziwa Nyasa na kwa namna linavyozinufaisha nchi Tatu yaani Tanzania Malawi pamoja na nchi ya Msumbiji katika shughuli za kilimo pamoja na uvuvi. kivutio kikubwa katika ziwa hilo ni uwepo wa visiwa pamoja na mito ambayo imetumika kama mipaka kutenganisha nchi hizo.