У нас вы можете посмотреть бесплатно 3 February 2026 или скачать в максимальном доступном качестве, видео которое было загружено на ютуб. Для загрузки выберите вариант из формы ниже:
Если кнопки скачивания не
загрузились
НАЖМИТЕ ЗДЕСЬ или обновите страницу
Если возникают проблемы со скачиванием видео, пожалуйста напишите в поддержку по адресу внизу
страницы.
Спасибо за использование сервиса ClipSaver.ru
utoto mtakatifu parokia ya mt yoseph-nansio PICHA NANSIO-BUNDA #Watoto wa Shirika la Kipapa Parokia ya Mtakatifu Yoseph Baba Mlishi wa Yesu Kristo Nansio, Jimbo Katoliki Bunda Jana Feb.1, 2026 walitembelea Familia ya Mheshimiwa Pius Msekwa Spika mstaafu wa Bunge la Jamuhuri ya muungano wa Tanzania kwa lengo la kujifunza mambo mbalimbali ikiwemo utunzaji wa Mazingira na Historia ya Ziwa Victoria Pamoja na aina ya Samaki Waliokuwa na wanaopatikana Ziwa Victoria. Katika ziara hiyo walishiriki sala na Nyimbo katika Groto la Mama Maria lililoko katika Familia hiyo wakiongozwa na mwenyeji wa Mh.Mama Anna Abdullah waziri mstaafu