У нас вы можете посмотреть бесплатно UCHANGANUZI | Ahadi ya Rais Samia kuondoa kasoro zilizojitokeza chaguzi tatu zilizopita itatimia? или скачать в максимальном доступном качестве, видео которое было загружено на ютуб. Для загрузки выберите вариант из формы ниже:
Если кнопки скачивания не
загрузились
НАЖМИТЕ ЗДЕСЬ или обновите страницу
Если возникают проблемы со скачиванием видео, пожалуйста напишите в поддержку по адресу внизу
страницы.
Спасибо за использование сервиса ClipSaver.ru
Akihutubia katika Baraza la Eid jijini Dar es Salaam, Rais Samia Suluhu Hassan alitoa ahadi ya kuwa kasoro zilizojitokeza katika chaguzi tatu zilizopita nchini, hazitarejewa katika uchaguzi mkuu wa rais, wabunge na madiwani uliopangwa kufanyika baadaye mwaka huu. Hatua hiyo imepokewa kwa hisia tofauti na viongozi wa vyama vya upinzani hapa nchini. #AzamTVUpdares