У нас вы можете посмотреть бесплатно Mkapa aunguruma UDSM, akiri kukosea sera ya ubinafsishaji, agusia katiba mpya или скачать в максимальном доступном качестве, видео которое было загружено на ютуб. Для загрузки выберите вариант из формы ниже:
Если кнопки скачивания не
загрузились
НАЖМИТЕ ЗДЕСЬ или обновите страницу
Если возникают проблемы со скачиванием видео, пожалуйста напишите в поддержку по адресу внизу
страницы.
Спасибо за использование сервиса ClipSaver.ru
Rais mstaafu, Benjamin Mkapa ameongea kwenye kongamano la nane la kigoda cha mwalimu Nyerere chuo kikuu cha Dar es Salaam(UDSM). Mkapa ameongelea nyufa zilizopo na kusema ni kutokana kupenda kuzungumza watu badala ya sera. Mkapa pia amegusia kuhusu kizazi kipya na amewataka watu kufatilia michango ya vijana bungeni ambao hawajafanya kazi hata miaka mitatu, uchambuzi na mbadala gani wanapeleka bungeni na kusema hapana kwenye kulalamika. Mkapa amesema anakubali kuwa kiongozi ni lazima aweze kusikiliza na ilikuwa ni sifa mojawapo ya Mwalimu lakini watu ni hodari wa kusema nini kifanywe mpaka inafika wakati unatokea umuhimu wa kunyamazisha.