У нас вы можете посмотреть бесплатно Hukumu ya Kabila ni kilele cha uhasama baina yake na Tshisekedi? | DW Kiswahili или скачать в максимальном доступном качестве, видео которое было загружено на ютуб. Для загрузки выберите вариант из формы ниже:
Если кнопки скачивания не
загрузились
НАЖМИТЕ ЗДЕСЬ или обновите страницу
Если возникают проблемы со скачиванием видео, пожалуйста напишите в поддержку по адресу внизу
страницы.
Спасибо за использование сервиса ClipSaver.ru
Mahakama ya kijeshi katika Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo imemhukumu kifo rais wa zamani Joseph Kabila kwa kosa la usaliti na uhalifu wa kivita. Kabila, mwenye umri wa miaka 54, alihukumiwa bila kuwepo mahakamani, baada ya kushtakiwa kuhusiana na kuunga mkono kundi la waasi wa M23 wanaosaidiwa na Rwanda. Je, upi ni mustakabali wa kiongozi huyo baada ya hukumu ya kifo? #dwkiswahili #DWSwahili #HabariLeo #RipotiNaUchambuzi #TaarifaYaHabari