У нас вы можете посмотреть бесплатно WAKULIMA ZAO LA MUHOGO TANGA WAPATA SOKO или скачать в максимальном доступном качестве, видео которое было загружено на ютуб. Для загрузки выберите вариант из формы ниже:
Если кнопки скачивания не
загрузились
НАЖМИТЕ ЗДЕСЬ или обновите страницу
Если возникают проблемы со скачиванием видео, пожалуйста напишите в поддержку по адресу внизу
страницы.
Спасибо за использование сервиса ClipSaver.ru
Wakulima wa zao la Muhogo katika mkoa wa Tanga, wameondolewa hofu ya wapi watauza bidhaa hiyo baada ya uongozi wa mkoa kutafuta mnunuzi ambae ataanzaa kununua Mihogo hiyo. Akizungumza kwenye kikao hicho kilichofanyika wilayani Handeni mkoani Tanga Februari 9, kilichojumuiya wakuu wote wa wilaya,wakurugenzi,wenyeviti pamoja na wadau wa zao hilo,Mkurugenzi wa kampuni ya Tanzania Agriculture Export and Process,(TAEPZ) Dior Feg amesema wanahitaji tani milioni mbili za Muhogo mkavu kwa mwaka.