У нас вы можете посмотреть бесплатно Mbunge wa Malindi Amina ataka mazungumzo chamani ODM или скачать в максимальном доступном качестве, видео которое было загружено на ютуб. Для загрузки выберите вариант из формы ниже:
Если кнопки скачивания не
загрузились
НАЖМИТЕ ЗДЕСЬ или обновите страницу
Если возникают проблемы со скачиванием видео, пожалуйста напишите в поддержку по адресу внизу
страницы.
Спасибо за использование сервиса ClipSaver.ru
Mbunge wa Malindi Amina Mnyazi Sasa anautaka uongozi wa chama Cha ODM kufanya mazungumzo na baadhi ya viongozi na wanachama wanaopinga uongozi huo ili kukabiliana na migawanyiko inayoshuhudiwa chamani humo. Akizungumza kwenye hafla ya uzinduzi wa bweni katika shule ya upili ya Jilore, Mnyazi anasema misingi ya chama hicho imekuwa kufanya mazungumzo wakati uongozi wake unapopitia changamoto. Mbunge huyo ameshikilia kuwa licha ya mgogoro huo, wafuasi wa pande zote wanasistiza kusalia wanachama wa chama cha chungwa.