У нас вы можете посмотреть бесплатно 1- Darsa | Kitaabu Sswiyam - AlFiqhul-Muyassar | Ustadh Abdulrashed Alhilaly حفظه الله или скачать в максимальном доступном качестве, видео которое было загружено на ютуб. Для загрузки выберите вариант из формы ниже:
Если кнопки скачивания не
загрузились
НАЖМИТЕ ЗДЕСЬ или обновите страницу
Если возникают проблемы со скачиванием видео, пожалуйста напишите в поддержку по адресу внизу
страницы.
Спасибо за использование сервиса ClipSaver.ru
Silsila Ya Darsa Za Kitabu cha Swiyām katika Fiqhul Muyassar kwa jumla inaelezea maana ya saumu, hukumu yake, masharti na nguzo zake, mambo yanayobatilisha na yanayoruhusu kuacha saumu, pamoja na hikima na adabu za ibada hii kwa mujibu wa Qur’ani na Sunnah kwa mtindo mwepesi na unaoeleweka. 1-Darsa Ya Kwanza | Saumu ni ibada ya kumcha Allah kwa kujizuilia na vitu vinavyofunguza saumu kuanzia alfajiri ya kweli hadi magharibi ya jua kwa nia, nguzo zake ni nia na kujizuia, na hukumu ya saumu ya Ramadhani ni faradhi ya lazima kwa kila Muislamu baleghe mwenye akili na uwezo. 🕌Masjid Ummu Salama Utawala Nairobi 23/08/1447H 11/02/2025M #شرح_كتاب_الصيام_من_الفقه_الميسر #Kitabu_swiyyam _alFiqhul_Muyassar Ustadh_Abdulrashed_alhilaly