У нас вы можете посмотреть бесплатно CHEKECHE | Mpango wa Ufaransa, Uingereza, Canada wa kulitambua taifa la Palestina unamaanisha nini? или скачать в максимальном доступном качестве, видео которое было загружено на ютуб. Для загрузки выберите вариант из формы ниже:
Если кнопки скачивания не
загрузились
НАЖМИТЕ ЗДЕСЬ или обновите страницу
Если возникают проблемы со скачиванием видео, пожалуйста напишите в поддержку по адресу внизу
страницы.
Спасибо за использование сервиса ClipSaver.ru
Mwezi wa Julai umehitimishwa kwa baadhi ya mataifa makubwa — Ufaransa, Uingereza na Canada kubainisha dhamira yao ya kulitambua taifa la Palestina, wakati ambapo eneo hilo linaendelea kukumbwa na vita vya Gaza vinavyokaribia kutimiza miaka miwili ifikapo Oktoba mwaka huu. Je, hatua hii inaashiria mabadiliko gani katika siasa za kimataifa na mwelekeo wa mzozo wa Mashariki ya Kati? Ungana na Raymond Nyamwihula pamoja na mchambuzi wa siasa za kimataifa, Godfrey Mchungu, katika CHEKECHE, kufahamu undani wa suala hili.