У нас вы можете посмотреть бесплатно Nyumba 106 zabomolewa Kibaha, DC Sara Msafiri afunguka, Wananchi walia na fidia или скачать в максимальном доступном качестве, видео которое было загружено на ютуб. Для загрузки выберите вариант из формы ниже:
Если кнопки скачивания не
загрузились
НАЖМИТЕ ЗДЕСЬ или обновите страницу
Если возникают проблемы со скачиванием видео, пожалуйста напишите в поддержку по адресу внизу
страницы.
Спасибо за использование сервиса ClipSaver.ru
Wakazi wa eneo la Vikongo wilaya ya Kibaha vijijini, wamemuomba rais wa Jamuhuri wa Muungano wa Tanzania,Samia Suluhu Hassan kuwasaidia baada ya nyumba zao 106 kubomolewa na kuwasababishia kukosa mahali pa kuishi. Nyumba hizo zilizobomolewa Desemba 23 mwaka huu, hali ya sintofahamu imekuwepo kwani wananchi wanaeleza kuwa wanamiliki kihalali ardhi hiyo baada ya kuuziwa na Serikali ya kijiji, huku mamlaka ikieleza kuwa wamevamia eneo la uwekezaji wa viwanda.