У нас вы можете посмотреть бесплатно SERIKALI INAMKAKATI WA KUONGEZA UWEZO WA KIUSHINDANI BANDARI YA TANGA или скачать в максимальном доступном качестве, видео которое было загружено на ютуб. Для загрузки выберите вариант из формы ниже:
Если кнопки скачивания не
загрузились
НАЖМИТЕ ЗДЕСЬ или обновите страницу
Если возникают проблемы со скачиванием видео, пожалуйста напишите в поддержку по адресу внизу
страницы.
Спасибо за использование сервиса ClipSaver.ru
Waziri Mkuu wa Jamhuri ya muungano wa Tanzania Dkt Mwigulu Nchemba amefanya ziara katika bandari ya Tanga kukagua shughuli za bandari hiyo na Kisha kuzungumza na watumishi. Akiwa bandarini hapo Waziri mkuu alipokea taarifa ya uboreshaji wa bandari eneo zitakazo jengwa gati mbili mpya ikiwa ni mikakati ya serikali ya kuiongezea uwezo ili bandari iweze kutoa huduma shindani na za ufanisi Katika kikao na watumishi wa bandari Tanga waziri Mkuu amesema Serikali itazifanyia kazi changamoto za watumishi katika bandari hiyo.