У нас вы можете посмотреть бесплатно Siku ya Majiji - Tanga na fursa za kiuchumi miongoni mwa majiji yanayokua kwa kasi nchini или скачать в максимальном доступном качестве, видео которое было загружено на ютуб. Для загрузки выберите вариант из формы ниже:
Если кнопки скачивания не
загрузились
НАЖМИТЕ ЗДЕСЬ или обновите страницу
Если возникают проблемы со скачиванием видео, пожалуйста напишите в поддержку по адресу внизу
страницы.
Спасибо за использование сервиса ClipSaver.ru
Katika kuadhimisha 'Siku ya Majiji Duniani', mkoa wa Tanga ni miongoni mwa majiji yanayokua hapa nchini ukiwa na fursa nyingi za uwekezaji kwaajili ya maendeleo. Mbali ya ardhi nzuri kwa kilimo cha mazao ya chakula na matunda Tanga pia ina fursa kwa njia ya bahari na ardhini. Mkurugenzi wa Jiji hilo anabainisha na kufafanua kuhusu fursa hizo na namna ya kuzipata kwa mustakabali mzuri wa maendeleo ya jiji hilo.