У нас вы можете посмотреть бесплатно MWENYEKITI CUF ATOA MIEZI 6 KUKAMILISHA MARIDHIANO или скачать в максимальном доступном качестве, видео которое было загружено на ютуб. Для загрузки выберите вариант из формы ниже:
Если кнопки скачивания не
загрузились
НАЖМИТЕ ЗДЕСЬ или обновите страницу
Если возникают проблемы со скачиванием видео, пожалуйста напишите в поддержку по адресу внизу
страницы.
Спасибо за использование сервиса ClipSaver.ru
TABORA: MWENYEKITI wa Chama cha Wananchi (CUF) Taifa, Mirambo Camil, amesema chama hicho kitaweka mkazo katika maridhiano ya ndani na ujenzi wa mtandao imara wa chama kuanzia ngazi ya matawi hadi Taifa ambapo amesema ndani ya miezi sita pekee uongozi wa chama hicho utahakikisha maridhiano hayo yanafikiwa. Camill amesema hayao ikiwa mara yake ya kwanza kuwasili mkoani Tabora tangu kukalia nafasi ya mwenyekiti wa CUF Taifa 22 feb mwaka huu. Na Michael Samwel-Tabora