У нас вы можете посмотреть бесплатно BARABARA ZAIDI YA 8 ZAPANDA HADHI MKURANGA. или скачать в максимальном доступном качестве, видео которое было загружено на ютуб. Для загрузки выберите вариант из формы ниже:
Если кнопки скачивания не
загрузились
НАЖМИТЕ ЗДЕСЬ или обновите страницу
Если возникают проблемы со скачиванием видео, пожалуйста напишите в поддержку по адресу внизу
страницы.
Спасибо за использование сервиса ClipSaver.ru
Barabara zaidi ya nane zimepandishwa hadhi wilaya ya Mkuranga Mkoani pwani zinazoenda kupunguza changamoto ya miundombinu kwa kiasi kikubwa. Hayo yamesemwa na mbunge wa Jimbo hilo ambaye pia ni waziri wa Ujenzi Mh. Abdalah Ulega wakati wa ziara yake ya siku moja katika kata nne za Mkuranga ambazo ni shungubweni,vianzi,Vikindu na Tambani. Katika ziara hiyo ulega alitembelea miradi mbalimbali pamoja na kuzindua nyumba ya mganga katika kijiji Cha funza kilichopo kata ya shungubweni pamoja na shule shikizi katika kata ya viazi. Aidha katika kata zote hizo nne Ulega alitoa viti 300 katika kata ikiwa ni mchango wake wamaendeleo kwa chama Cha mapindunzi kiweze kujiendesha.