У нас вы можете посмотреть бесплатно Spika wa Kitui asema ushirikiano wake na Rais ni maendeleo kwa wananchi или скачать в максимальном доступном качестве, видео которое было загружено на ютуб. Для загрузки выберите вариант из формы ниже:
Если кнопки скачивания не
загрузились
НАЖМИТЕ ЗДЕСЬ или обновите страницу
Если возникают проблемы со скачиванием видео, пожалуйста напишите в поддержку по адресу внизу
страницы.
Спасибо за использование сервиса ClipSaver.ru
Spika wa bunge la Kitui Kelvin Kinengo ametetea hatua yake ya kufanya kazi na serikali ya kitaifa na kusuta viongozi wanaomkashifu akisema ushirikiano huo unaleta maendeleo kwa wakazi wa Kitui. Kinengo akisema wasaliti wa kweli ni wale ambao wanapinga maendeleo ya Rais Ruto kaunti hio na kupanga jinsi viongozi wenza watapoteza nyadhifa zao katika chaguzi zijazo. Amehakikisha yeye na viongozi wengine wataendelea kumuunga rais kwa maendeleo akitaka siasa kufanywa kwa heshima.