У нас вы можете посмотреть бесплатно NAIBU KATIBU MKUU WIZARA YA NISHATI AKAGUA MRADI WA UTAFITI WA GESI NA MAFUTA WA MTWARA - LINDI или скачать в максимальном доступном качестве, видео которое было загружено на ютуб. Для загрузки выберите вариант из формы ниже:
Если кнопки скачивания не
загрузились
НАЖМИТЕ ЗДЕСЬ или обновите страницу
Если возникают проблемы со скачиванием видео, пожалуйста напишите в поддержку по адресу внизу
страницы.
Спасибо за использование сервиса ClipSaver.ru
Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Nishati Dkt. James Mataragio, ametembelea katika maeneo mbalimbali yanayopitiwa na Utafiti wa mradi wa Gesi na Mafuta wa Mtwara - Lindi ikiwa ni pamoja na Kijiji cha Mbuo ambapo ndipo kuna kambi ya Watafiti hao, Kijiji cha Lyowa pamoja na Kijiji cha Manamawa, ambacho ni Kijiji cha kwanza kwa upande wa Mkoa wa Mtwara. Dkt. Mataragio, ametembelea katika Kitalu hicho leo Oktoba 15, 2025. SUBSCRIBE YOUTUBE CHANNEL YA FAIDA ONLINE TV ILI KUPATA HABARI ZETU