У нас вы можете посмотреть бесплатно Wazee Kwamsisi Handeni waliamsha tena wamkataa mwekezaji, wataka ardhi yao. или скачать в максимальном доступном качестве, видео которое было загружено на ютуб. Для загрузки выберите вариант из формы ниже:
Если кнопки скачивания не
загрузились
НАЖМИТЕ ЗДЕСЬ или обновите страницу
Если возникают проблемы со скачиванием видео, пожалуйста напишите в поддержку по адресу внизу
страницы.
Спасибо за использование сервиса ClipSaver.ru
Wananchi wa kijiji cha Kwamsisi wilayani Handeni mkoani Tanga,wameiomba serikali kuangalia upya umiliki wa ardhi wa mwekezaji Sasumua Holdings Limited anaemiliki hekta 6,174 kwenye eneo lao na kusababisha wananchi kukosa maeneo ya shughuli za maendeleo. Wakizungumza kwenye mkutano wao wa hadhara pamoja na mkuu wa wilaya ya Handeni Siriel Mchembe na kamati ya ulinzi na uslaama,wenye lengo la kusikiliza kero hiyo ,wananchi hao walisema zaidi ya kaya 800 zinatakiwa kuhamishwa kwa madai kuwa zipo kwenye shamba la muwekezaji na zinatakiwa kuondoka.