У нас вы можете посмотреть бесплатно Marehemu Yohana Ng’eno kuzikwa Ijumaa nyumbani kwake Mogondo Narok или скачать в максимальном доступном качестве, видео которое было загружено на ютуб. Для загрузки выберите вариант из формы ниже:
Если кнопки скачивания не
загрузились
НАЖМИТЕ ЗДЕСЬ или обновите страницу
Если возникают проблемы со скачиванием видео, пожалуйста напишите в поддержку по адресу внизу
страницы.
Спасибо за использование сервиса ClipSaver.ru
Kamati inayoshughulikia mazishi ya aliyekuwa mbunge wa Emurua Dikirr Yohana Ng’eno aliyefariki pamoja na watu wengine watano katika jail ya ndege eneo la Mosop kaunti ya Nandi, atazikwa nyumbani kwake Mogondo kaunti ya Narok siku ya Ijumaa. Viongozi mbalimbali wa kisiasa wakiongozwa na Rais William Ruto leo hii wamefika nyumbani kwake katika mtaa wa Karen kuifariki familia yake na kumuomboleza kiongozi huyo ambaye ametajwa kuwa mkakamavu na aliyejitolea kupigania haki za wenyeji aliowawakilisha. Mary Kyallo anatuarifu