У нас вы можете посмотреть бесплатно Je, kukamatwa kwa Riek Machar kutasababisha vita Sudan Kusini? или скачать в максимальном доступном качестве, видео которое было загружено на ютуб. Для загрузки выберите вариант из формы ниже:
Если кнопки скачивания не
загрузились
НАЖМИТЕ ЗДЕСЬ или обновите страницу
Если возникают проблемы со скачиванием видео, пожалуйста напишите в поддержку по адресу внизу
страницы.
Спасибо за использование сервиса ClipSaver.ru
Ujumbe wa Umoja wa Mataifa nchini Sudan Kusini umeonya kwamba kukamatwa kwa Makamu wa Kwanza wa Rais Riek Machar kumeifanya nchi hiyo kuwa kwenye hatari ya kurejea kwenye vita vya wenyewe kwa wenyewe. Serikali ya Sudan Kusini bado haijasema lolote juu ya kukamatwa kwa Machar. Hali ya wasiwasi imesalia kuwa juu mjini Juba, huku kukiwa na taarifa za kuwepo kwa wanajeshi wengi walioweka kambi karibu na nyumba ya Machar.