У нас вы можете посмотреть бесплатно MRADI WA UMEME KILINDI WAFIKIA ZAIDI YA ASILIMIA 35, KUKAMILIKA MWISHO WA MWAKA или скачать в максимальном доступном качестве, видео которое было загружено на ютуб. Для загрузки выберите вариант из формы ниже:
Если кнопки скачивания не
загрузились
НАЖМИТЕ ЗДЕСЬ или обновите страницу
Если возникают проблемы со скачиванием видео, пожалуйста напишите в поддержку по адресу внизу
страницы.
Спасибо за использование сервиса ClipSaver.ru
Waziri wa Viwanda na Biashara Mhe. Judith Kapinga (Mb), akiongea kuhusu ujenzi wa kituo cha kupoza umeme cha Kilindi kufikia asilimia 35.9, huku ujenzi wa njia ya kusafirisha umeme kufikia asilimia 30.91 hadi kufikia Januari 2026, na miradi hiyo inatarajiwa kukamilika ifikapo mwisho wa mwaka huu. Ameyasema hayo Januari 30, 2026 Bungeni jijini Dodoma alipokuwa akijibu swali la Mbunge wa Kilindi, Mhe. Salehe Mhando, kwa niaba ya Waziri wa Nishati.