У нас вы можете посмотреть бесплатно LUKUVI AAGIZA MAKAMPUNI YA MADINI KUWALIPA FIDIA WANANCHI или скачать в максимальном доступном качестве, видео которое было загружено на ютуб. Для загрузки выберите вариант из формы ниже:
Если кнопки скачивания не
загрузились
НАЖМИТЕ ЗДЕСЬ или обновите страницу
Если возникают проблемы со скачиванием видео, пожалуйста напишите в поддержку по адресу внизу
страницы.
Спасибо за использование сервиса ClipSaver.ru
Waziri Lukuvi pia amepiga marufuku vitendo vinavyofanywa na baadhi ya wawekezaji wasio waaminifu waliopewa vibali vya kuchimba madini kuwahamisha wananchi katika maeneo ya uchimbaji bila kuwalipa fidia stahiki. Lukuvi amesema kama umepewa kibali na serikali cha kuendeleza eneo flani la mgodi wale wananchi wa pale lazima waondoke lakini waondolewe kwa heshima, wapewe fidia inayofanana na thamani ya mali zao zilizopo eneo lenye mgodi siyo fidia ya kupunza wananchi kama kulikuwa kuna nyumba wajengee nyumba zingine nzuri ndio uwaamishe.