У нас вы можете посмотреть бесплатно Maisha Yanayohusiana na Mungu | Jmdklm, Kanisa la Mungu или скачать в максимальном доступном качестве, видео которое было загружено на ютуб. Для загрузки выберите вариант из формы ниже:
Если кнопки скачивания не
загрузились
НАЖМИТЕ ЗДЕСЬ или обновите страницу
Если возникают проблемы со скачиванием видео, пожалуйста напишите в поддержку по адресу внизу
страницы.
Спасибо за использование сервиса ClipSaver.ru
Kwa Nini Yesu Katika Enzi ya Mwana na Kristo Ahnsahnghong Katika Enzi ya Roho Mtakatifu Alisema Agano Jipya Ni Muhimu Wanadamu wote walikuwa wenye dhambi nzito ambao walistahili adhabu ya Mungu kwa ajili ya dhambi zilizotendwa mbinguni, lakini Mungu Alikuja katika dunia hii katika mwili naye Akatujalia msamaha wa dhambi kupitia agano jipya ili kwamba tuweze kutumainia ufalme wa mbinguni tena kama watoto wa Mungu. Familia ya Mbinguni Inakamilishwa Kupitia Upendo wa Kristo Ahnsahnghong na Mungu Mama Mungu Alikuja katika dunia hii, ambapo Alipatwa na maumivu ya msalaba, kwa mara nyingine tena kulirudisha agano jipya ambalo lilikuwa limepotea wakati wa Enzi za Giza na kufungua njia ya wokovu kwa ajili ya wanadamu. Watoto wa Mbinguni walipokea upendo wa Mungu, ambao hata maumivu ya kifo hayakuweza kuzuia. Hivyo, kaka na dada katika Sayuni, ambao walikuja kuwa familia ya mbinguni, wanapaswa kuweka katika vitendo upendo walioupokea kutoka kwa Mungu kwa kupendana. “Amri mpya nawapa: Mpendane kama mimi nilivyowapenda ninyi, vivyo hivyo nanyi mpendane. Yohana 13:34 [ Hakimiliki za video hii zimehifadhiwa na Jamii ya Misheni ya Dunia ya Kanisa la Mungu. Hairuhusiwi kunakili na kusambaza bila kibali. ] 〖World Mission Society Church of God〗https://watv.org 〖WATV Media Cast〗 https://watvmedia.org/sw 〖Church of God Introduction〗 https://introwmscog.com