У нас вы можете посмотреть бесплатно MAKAMU WA RAIS AITAKA JAMII KUOMBEA UPENDO NA UMOJA или скачать в максимальном доступном качестве, видео которое было загружено на ютуб. Для загрузки выберите вариант из формы ниже:
Если кнопки скачивания не
загрузились
НАЖМИТЕ ЗДЕСЬ или обновите страницу
Если возникают проблемы со скачиванием видео, пожалуйста напишите в поддержку по адресу внизу
страницы.
Спасибо за использование сервиса ClipSaver.ru
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Balozi Dk. Emmanuel Nchimbi, amewataka Watanzania kutumia mwezi Mtukufu wa Ramadhani na kipindi cha Kwaresma kumuomba Mwenyezi Mungu aendeleze upendo, mshikamano, amani na umoja katika Taifa. Ametoa wito huo Machi 14, wakati akifuturisha viongozi wa dini, viongozi wa taasisi mbalimbali, wazee, vijana pamoja na wawakilishi wa makundi mbalimbali ya kijamii nyumbani kwake Mtaa wa Mateka, Manispaa ya Songea mkoani Ruvuma.