У нас вы можете посмотреть бесплатно E HABARI/MAKAMU WA RAIS AONGOZA MAADHIMISHO YA SIKU YA SHERIA NCHINI / FEB 02 2026 или скачать в максимальном доступном качестве, видео которое было загружено на ютуб. Для загрузки выберите вариант из формы ниже:
Если кнопки скачивания не
загрузились
НАЖМИТЕ ЗДЕСЬ или обновите страницу
Если возникают проблемы со скачиванием видео, пожалуйста напишите в поддержку по адресу внизу
страницы.
Спасибо за использование сервиса ClipSaver.ru
MAKAMU wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Balozi,Dkt. Emmanuel Nchimbi, amemshukuru Rais wa Chama cha Mawakili Tanganyika (TLS), Wakili Boniface Mwabukusi, baada ya kuwataka viongozi wa serikali kutoikumbusha jamii kuhusu matukio yaliyotokea wakati wa uchaguzi mkuu wa Rais,Wabunge na Madiwani uliyofanyika Oktoba 29, 2025, kwani kufanya hivyo ni kutonesha vidonda na kuathiri mchakato wa upatikanaji wa haki.