У нас вы можете посмотреть бесплатно AIRTEL YAZINDUA MADUKA 31 TANZANIA, ZANZIBAR YANUFAIKA или скачать в максимальном доступном качестве, видео которое было загружено на ютуб. Для загрузки выберите вариант из формы ниже:
Если кнопки скачивания не
загрузились
НАЖМИТЕ ЗДЕСЬ или обновите страницу
Если возникают проблемы со скачиванием видео, пожалуйста напишите в поддержку по адресу внизу
страницы.
Спасибо за использование сервиса ClipSaver.ru
Kampuni ya mawasiliano ya Airtel imezindua rasmi maduka 31 kote Tanzania kama sehemu ya mkakati wa kuimarisha huduma kwa wateja na kuchochea maendeleo endelevu, hususan katika sekta ya ajira kwa vijana. Uzinduzi huo umefanyika leo ambapo Mkuu wa Mkoa wa Mjini Magharibi, Mheshimiwa Moh’d Ali Abdallah, alifungua rasmi duka la Airtel Zanzibar lililopo Mbweni, Wilaya ya Magharibi B, Unguja, akipongeza hatua hiyo kwa kuchangia ukuaji wa uchumi na kusogeza huduma za kidijitali karibu na wananchi. Mkurugenzi wa Huduma kwa Wateja wa Airtel, Ndugu Adriana Lyamba, amesema ufunguzi wa maduka hayo ni sehemu ya mkakati wa kuboresha huduma kwa wateja, huku akieleza kuwa zaidi ya wajasiriamali 400 watanufaika na fursa zitokanazo na huduma za kidijitali. Naye Meneja wa Kanda ya Zanzibar, Ndugu Nassor Twahir Laizer, amesema Airtel itaendelea kuboresha huduma zake ili kuongeza ufanisi na kuridhika kwa wateja. #AirtelTanzania #HudumaKwaWateja #AjiraKwaVijana #Zanzibar #Teknolojia #AsamOnlineTV